forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
1.1 KiB
Markdown
36 lines
1.1 KiB
Markdown
# Sentensi Unganishi:
|
|
|
|
Wakati Zakaria anafanya wajibu wake hekaluni, malaika anakuja kutoka kwa Mungu kumpa ujumbe.
|
|
|
|
# Sasa
|
|
|
|
Neno hili linazingatia mwanzo wa kitendo katika historia,
|
|
|
|
# alimtokea
|
|
|
|
"ghafla alikuja kwake" au "ghafla alikuwa pale pamoja na Zakaria." Hii inaweka wazi kwamba malaika alikuwa pamoja na Zakaria, na siyo tu maono.
|
|
|
|
# Zakaria ... alikuwa katekewa ... woga ukamwangukia
|
|
|
|
Hizi kauli mbili zinamaana ileile, na zinasisitiza jinsi Zakaria alivyokuwa na hofu.
|
|
|
|
# Zakaria alipomuona
|
|
|
|
"Zakaria alipomwona malaika" Chanzo cha hofu kilikuwa kushituliwa na ile asili ya malaika. Zakaria hakufanya kitu chochote kibaya.
|
|
|
|
# Hofu ikaja juu yake
|
|
|
|
Hofu ni kitu kinachofafanuliwa kama kwamba shambulio au Zakaria alizidiwa nguvu.
|
|
|
|
# Usiogope
|
|
|
|
"usiendelee kuniogopa mimi" au "Wewe hutakiwi kuniogopa mimi"
|
|
|
|
# maombi yako yamesikiwa
|
|
|
|
"Mungu amesikia ambacho uliomba." Kinachofuata kinadokeza na kingeliongezwa: "ataruhusu hiyo." Mungu hakukomea kusikia tu alichoomba Zakaria; pia alikuwa anaelekea kutenda.
|
|
|
|
# utazaa mwana
|
|
|
|
"mwana wa kiume kwaajili yako" au "kuzaa mtoto wako wa kiume"
|