forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
878 B
Markdown
24 lines
878 B
Markdown
# mtu yule ambaye lilikuwa limenunuliwa ... mmiliki wa ardhi
|
|
|
|
Virai hivi viwili humrejelea mtu yule yule. Kwa kawaida ardhi ingenunuliwa kutoka kwa mmiliki wake.
|
|
|
|
# mtu yule ambaye lilikuwa limenunuliwa
|
|
|
|
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "mtu aliyeliuza"
|
|
|
|
# Tathmani yote lazima ifanywe
|
|
|
|
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "kuahani ataamua ukadiliaji wa thamani"
|
|
|
|
# kwa uzani wa shekeli ya mahali pa patakatifu
|
|
|
|
Kulikuwa na shekeli za vipimo mbali mbali. Hiki kilikuwa ni kimojawapo ambacho watu ilikuwa watumie ndani ya hema takatifu.
|
|
|
|
# Gera ishirini kwa shekeli moja.
|
|
|
|
Kusudi la sentensi hii ni kutamka ni kiasi gani shekeli ya patakatifu hupimwa. Gera ilikuwa ni uzani mdogo sana wa kipimo walichotumia Waisraeli: "Sharti shekeli moja iwe sawasawa na gera ishirini"
|
|
|
|
# Gera ishirini kwa shekeli moja.
|
|
|
|
: "Shekeli moja yapasa ipime gramu kumi"
|