forked from WA-Catalog/sw_tn
19 lines
590 B
Markdown
19 lines
590 B
Markdown
# tenga
|
|
|
|
Ule msemo "tenga" humaanisha kutengwa kutoka kwenye kitu fula ili kutimiza kusudi fulani.
|
|
. Waisraeli walitengwa kawa ajili ya huduma
|
|
kwa Mungu.
|
|
. Roho Mtakatifu aliwaagiza Wakristo huko
|
|
Antiokia kuwatenga Paulo na Barnaba kwa
|
|
kazi ambayo Mungu aliwataka wao
|
|
waifanye
|
|
. Mwamini "aliyetengwa" kwa ajili ya huduma
|
|
kwa Mungu "kwakifishwa" kutimiza
|
|
mapenzi ya Mungu.
|
|
. maana mojawapo ya msemo "mtkatifu" ni
|
|
kutengwa kuwa Mungu na kuwa
|
|
umetengwa kutokanjia za dhambi za
|
|
ulimwengu.
|
|
. Ule msemo "takasa" humaanisha kutenga
|
|
mtu kwa ajili ya huduma ya Mungu.
|