sw_tn/lev/27/22.md

19 lines
590 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# tenga
2021-09-10 19:21:44 +00:00
Ule msemo "tenga" humaanisha kutengwa kutoka kwenye kitu fula ili kutimiza kusudi fulani.
. Waisraeli walitengwa kawa ajili ya huduma
2019-05-21 20:17:16 +00:00
kwa Mungu.
2021-09-10 19:21:44 +00:00
. Roho Mtakatifu aliwaagiza Wakristo huko
Antiokia kuwatenga Paulo na Barnaba kwa
kazi ambayo Mungu aliwataka wao
2019-05-21 20:17:16 +00:00
waifanye
2021-09-10 19:21:44 +00:00
. Mwamini "aliyetengwa" kwa ajili ya huduma
kwa Mungu "kwakifishwa" kutimiza
2019-05-21 20:17:16 +00:00
mapenzi ya Mungu.
2021-09-10 19:21:44 +00:00
. maana mojawapo ya msemo "mtkatifu" ni
kutengwa kuwa Mungu na kuwa
umetengwa kutokanjia za dhambi za
ulimwengu.
. Ule msemo "takasa" humaanisha kutenga
2019-05-21 20:17:16 +00:00
mtu kwa ajili ya huduma ya Mungu.