forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
424 B
Markdown
16 lines
424 B
Markdown
# nitalikumbuka agano langu na baba zao
|
|
|
|
: "Nitatimiza agano langu na babu zao.
|
|
|
|
# Maelezo kwa Ujumla
|
|
|
|
Hili lina hitimisha ujumbe wa Yahweh kwa Musa katika mlima wa Sinai kuhusiana na baraka kwa utii na adhabu kwa kutotii.
|
|
|
|
# machoni pa mataifa
|
|
|
|
Hii huwakilisha ufahamu wa mataifa. ": "katika ufahamu wa mataifa" au "nayo mataifa yajue kuhusu hili"
|
|
|
|
# mataifa
|
|
|
|
Hili huwakilisha watu wa mataifa. "machoni pa watu wa mataifa"
|