sw_tn/lev/25/42.md

352 B

Maelezo Unganishi

Mungu anaendelea kumwambia Musa yaliyompasa kuwaambia watu.

wao ni watumishi wangu

"wananchi wenzako ni watumishi wangu"

Hawatauzwa kama watumwa

Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Haiwapasi kuwauza kama watumwa.

waweza kununua watumwa kutoka kwao.

"labda mwaweza kununua watumwa kutoka kwa mataifa hayo"