# hutamfanyisha kazi kama mtumwa. Mtendee kama mtumishi wa kuajiriwa.
Hii humaanisha kwamba mmiliki alikuwa amtendee Mwisraeli kwa heshima kuliko vile ambavyo angelimtendea mtumwa.
# Mwaka wa Yubile
Tazama maelezo katika 25:33