forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
562 B
Markdown
20 lines
562 B
Markdown
# Lakini nyumba za vijijini zisizokuwa na ukuta
|
|
|
|
Baadhi ya vijiji havikuwa na ukuta kuvizunguka.
|
|
|
|
# Zaweza kukombolewa, na ni lazima zirejeshwe
|
|
|
|
"Mnaweza kuzinunua tena nyumba mlizoziuza, na wale waliozinunua sharti wazirejeshe hizo nyumba"
|
|
|
|
# mwaka wa Yubile
|
|
|
|
Tazama ulivyofafanuliwa ktika mistari iliyotangulia katika sura hii
|
|
|
|
# nyumba zinazomilikiwa na Walawi katika miji yao
|
|
|
|
"zile nyumba wanazozimiliki Walawi katika miji yao"
|
|
|
|
# zaweza kukombelewa wakati wowote
|
|
|
|
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Walawi wanaweza kuzikomboa wakati wowote"
|