Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anamaliza kumwambia Aroni kile ambacho watu yawapasa kufanya.
Hili lilifanyika kama Yahweh alivyomwamuru Musa.
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utengaji. : "Naye Musa akafanya kama alivyoamru Yahweh" au "Naye Aroni akafanya kama Yahweh alivyomwamru Musa"