forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
495 B
Markdown
12 lines
495 B
Markdown
# ili kwamba kusiwe na kitu ndani ya nyumba kitakachonajisika
|
|
|
|
mara tu kuhani alipoitangaza nyumba najis, kila kitu kilichokuwa kwenye nyumba kilikuwa najisi pia. Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kiasi kwamba hahitaji kutangaza kitu cho chote kilichosalia ndani ya nyumba kuwa najisi"
|
|
|
|
# ndani ya nyumba kitakachonajisika
|
|
|
|
Tazama maelezo ya sura 13:20
|
|
|
|
# katika bonde za kuta.
|
|
|
|
Hii inamaanisha kwamba kuhani ndiye atakayeamua iwapo ukungu umeingi ndani ya nyuso za kuta tu.
|