forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
443 B
Markdown
12 lines
443 B
Markdown
# Maelezo kwa Ujumla
|
|
|
|
Yahweh aHii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji.nawaambia Musa na Aroni kile ambacho watu wanapaswa kufanya mtu anapotakaswa ugonjwa wa ngozi.
|
|
|
|
# siku yake ya utakaso
|
|
|
|
Hii hurejelea siku ya ambayo kuhani anamtangaza mtu kuwa ni safi kwa kanuni za kidini
|
|
|
|
# Ni lazima aletwe kwa kuhani
|
|
|
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Mtu mmoja anaweza kumleta kwa k"uhani au "Yeye anaweza kwenda kwa kuhani"
|