forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
417 B
Markdown
16 lines
417 B
Markdown
# Taarifa kwa Ujumla
|
|
|
|
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi.
|
|
|
|
# analichunguza
|
|
|
|
Kinachochunguzwa hapa ni ule uvimbe au doa ling'aalo juu ya ngozi.
|
|
|
|
# kuhani atamtangaza kuwa najisi.
|
|
|
|
Tazama maelezo ya sura ya 13:20
|
|
|
|
# naye kuhani atamtangaza kuwa safi
|
|
|
|
Mtu ambaye watu wengine wanaweza kumgusa amezungumziwa kana kwamba alikuwa safi kimaumbile.
|