forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
552 B
Markdown
24 lines
552 B
Markdown
# huyo kuhani itambidi kumchunguza
|
|
|
|
Anayechunguzwa hapa ni yule mtu aliye na ugonjwa wa ngozi
|
|
|
|
# kama haujaenea kwenye ngozi
|
|
|
|
Hii inamaanisha kwamba kama ugonjwa wa ngozi haujaongozeka katika ukubwa au haujasogea kwenye sehemu zingine za mwili.
|
|
|
|
# siku ya saba
|
|
|
|
"Ya saba" ni idadi kwa 7. : "siku ya 7"
|
|
|
|
# siku saba
|
|
|
|
"Siku 7"
|
|
|
|
# Naye kuhani atamtangaza safi ...yeye ni safi.
|
|
|
|
Yule mtu ambaye wengine wangemgusa amezungumziwa kana kwamba ni safi kimbaumbile.
|
|
|
|
# upele
|
|
|
|
Hii ili eneo la ngozi lililoumbuliwa, lakini upele upele hataenea kwa watu wengine.
|