forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
694 B
Markdown
24 lines
694 B
Markdown
# Vyakula vyote ambavyo ni safi
|
|
|
|
Vyakula ambavyo Mungu amevitaja kuwa vimekubalika kwa watu kula kimezumgumziwa kana kwamba kilikuwa safi kimaumbile.
|
|
|
|
# na kilichoruhusiwa kuliwa
|
|
|
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ambacho waweza kukila"
|
|
|
|
# .nacho kitakuwa najisi
|
|
|
|
Chakula kisichokubalika kwa watu kukila kwa sababu maji yaliyonajisi yamemwagikia juu yake kimezungumziwa kana kwamba kilikuwa kichafu kimaumbile
|
|
|
|
# kinachoweza kunywewa
|
|
|
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "waweza kunywa"
|
|
|
|
# cha mzoga
|
|
|
|
"cha maiti"
|
|
|
|
# Ni lazima kivunjwevunjwe
|
|
|
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Ni lazima ukivunje vipandevipand"e au "Yakupasa kukisambaratisha"
|