forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
610 B
Markdown
16 lines
610 B
Markdown
# Taarifa kwa Ujumla
|
|
|
|
Yahweh anaanza kuwaambia Musa na Aroni ni wanyama gani ambao watu wanatakiwa kuwaona najisi.
|
|
|
|
# Nanyi mtakuwa najisi hata jioni kutokana na wanyama hawa endapo mtagusa mizogo yao
|
|
|
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Miili ya wanya wanyama hawa waliokufa itawafanya nyinyi kuwa najisi kama mtagusa mmojawapo.
|
|
|
|
# mtakuwa najisi
|
|
|
|
Mtu asiyekubalika kwa kusudi la Mungu kwa sababu amegusa mojawapo ya miili ya wanyama waliokufa anazungumziwa kana kwamba amekuwa si mchafu kimaumbile.
|
|
|
|
# wanyama hawa
|
|
|
|
Hii hurejelea wanyama anaotaka kuwaorodheshaa katika mistari inayofuata.
|