forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
792 B
Markdown
36 lines
792 B
Markdown
# Nadabu na Abihu
|
|
|
|
Haya ni majina ya wana wa Aroni
|
|
|
|
# kifukizo
|
|
|
|
chombo cha metali chenye kina kifupi ambacho makuhani walikitumia kubebea makaa ya moto au uvumba
|
|
|
|
# wakakaweka moto ndani yake
|
|
|
|
"akaweka makaa yaliyowaka moto ndani yake"
|
|
|
|
# wakatoa moto usiokuabalika mbele za Yahweh, moto ambao hakuwaamru wao kuutoa
|
|
|
|
"Lakini Yahweh hakuikubali sadaka yao kwa sababu haikuendana na kile ambacho aliwaamru kukitoa"
|
|
|
|
# moto usiokuabalika mbele za Yahweh
|
|
|
|
"moto usiokubalika kwa Yahweh"
|
|
|
|
# Kwa hiyo moto ukashuka chini mbele za Yahweh
|
|
|
|
"Kwa hiyo Yahweh akatuma moto"
|
|
|
|
# ukashuka chini mbele za Yahweh
|
|
|
|
"ulikuja kutoka kwa Yahweh"
|
|
|
|
# na kuwala
|
|
|
|
Moto ukiwaunguza kabisa watu unazungumziwa kana kwamba uliwala au uliwatumia kabisa.
|
|
|
|
# nao wakafa mbele za Yahweh
|
|
|
|
"walikufa katika uwepo wa Yahweh"
|