forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
633 B
Markdown
20 lines
633 B
Markdown
# kisha akashuka chini
|
|
|
|
Kirai "akashuka chini" kimetumika kwa sababu mahali pa madhabahu palikuwa juu zaidi ya mahali watu walipokuwa wanasimama.
|
|
|
|
# utukufu wa Yahweh ukaonekana kwa watu wote
|
|
|
|
"Utukufu" hapa huwakilisha uwepo wa Yahweh. : "Yahweh akawaonyesha watu wote utukufu wa uwepo wake"
|
|
|
|
# Moto ukashuka kutoka kwa Yahweh na ukairamba
|
|
|
|
"Yahweh alituma moto ulioiramba"
|
|
|
|
# ukairamba sadaka ya kuteketezwa
|
|
|
|
Moto ukiitekeza kabisa sadaka umezungumziwa kana kwamba moto uiitafuna au kuitumia sadaka ya kutekezwa.
|
|
|
|
# wakala wakiinamisha nyuso zao chini
|
|
|
|
"walilala wakaelekeza nyuso zao ardhini." Hii ni ishara ya heshima na adhama.
|