sw_tn/lev/07/09.md

16 lines
354 B
Markdown

# inayookwa mekoni... ipikwayo kaangoni
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Ile ambayo mtufulani anaioka mekoni... ile ambayo mtu fulani huipika mekoni"
# Meko
Tazama maelezo katika sura 2:3
# Kaango
Tazama maelezo katika 2:6 ili uone neno "kaango" lilivyotafsiriwa
# Sufuria
Tazama sura ya 2:4 uone neno "sufuria" lilivyofasiriwa