forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
814 B
Markdown
32 lines
814 B
Markdown
# kwa ukamilifu
|
|
|
|
"kikamilifu" au "kabisa"
|
|
|
|
# kuongeza moja ya tano
|
|
|
|
Tazama lilivyotafsiriwa katika 5:15
|
|
|
|
# kumlipa anayedai
|
|
|
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. :"kulipa mtu anayemdai"
|
|
|
|
# anayopatikana na hatia
|
|
|
|
Mtu aliyeiba yapasa kuletwa mbele ya mwamuzi na kutangazwa mwanyehatia. : "sentensi hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. "hakimu anamtangaza kuwa mwenye hatia"
|
|
|
|
# inayolinga na thamani ya sasa
|
|
|
|
Tazama 5:14 uone lilivyofasiriwa
|
|
|
|
# Naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake
|
|
|
|
Ile nomino dhahania "upatanisho" yaweza kutamkwa kama kitenzi. : "kuhani atapatanisha kwa ajili yake"
|
|
|
|
# mbele ya Yahweh,
|
|
|
|
katika uwepo wa Yahweh"
|
|
|
|
# naye atakuwa amesamehewa
|
|
|
|
Hii humaanisha Yahweh atamsamehe mtu huyo, siyo kuhani. Hii yaweza kutafasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Mungu atamsamehe yeye"
|