forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
805 B
Markdown
28 lines
805 B
Markdown
# pembe za madhabahu
|
|
|
|
Tazama maelezo ya sura ya 4:6 ili kuona linavyofasiriwa.
|
|
|
|
# naye ataimwaga damu yake yote
|
|
|
|
"Naye ataimwaga damu yake yote iliyobaki"
|
|
|
|
# Naye tayakata mafuta
|
|
|
|
"Naye" hapa humrejelea mtu anayetoa hiyo dhabihu.
|
|
|
|
# kama tu vile yakatwavyo mafuta ya mwana-kondoo
|
|
|
|
Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "kama tu vile mtu akatavyo hayo mafuta ya Mwana-kondoo"
|
|
|
|
# matoleo ya Yahweh yafanywayo kwa moto
|
|
|
|
Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Matoleo ya kuteketezwa kwa Yahweh
|
|
|
|
# atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa dhambi aliyoifanya
|
|
|
|
Ile nomino dhahania "upatanisho" yaweza kutamkwa kama kitenzi. :atapatanisha kwa ajili ya dhambi aliyotenda huyo mtu"
|
|
|
|
# na mtu huyo atakuwa amesahewa.
|
|
|
|
Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Yahweh atasameha dhambi ya mtu huyo"
|