forked from WA-Catalog/sw_tn
358 B
358 B
Ataweka mkono wake juu ya kichwa
Tazama mafafanuzi katika sura ya 1:3 uone lilivyofasiriwa
Kuhani atachukua kiasi cha damu
Inamaanisha kwamba kuhani aliikinga damu ya kwenye bakuli wakati ilipotiririka kutoka kwa mnyama
pembe za madhabahu
Tazama katika sura ya 4:6 uone lilivyofasiriwa.
Damu yote iliyobaki
Damu yote iliyobaki kwenye bakuli.