sw_tn/lev/04/18.md

302 B

Ataweka

"Naye kuhani ataweka"

pembe za madhabahu

hii hurejelea kona za madhabahu. Zimechongwa kama pembe za ng'ombe. Tazama lilivyofasiriwa katika Sura ya 4:6

ataimwaga damu yote

Ataimwaga damu iliyosalia

mafuta yote kutoka kwake

"mafuta yote kutoka kwa mnyama na kuyachoma hayo mafuta"