forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
420 B
Markdown
12 lines
420 B
Markdown
# amtoe mbele za Yahweh
|
|
|
|
"amtoe mkatika uwepo wa Yahweh" au "amte kwa Yahweh"
|
|
|
|
# Ataweka mkono wake juu ya kichwa
|
|
|
|
Hili ni tendo la kiishara ambalo humfananisha mtu na mnyama anayemtoa. Kwa njia hii mtu huyo atakuwa anajitoa mwenyewe kwa Yahweh kupitia mnyama.
|
|
|
|
# wana wa Aroni watanyunyiza damu
|
|
|
|
Inaashiria kwamba kabla hawajanyunyiza hiyo damu, waliikinga kwanza kwenye bakuli ilipokuwa inachuruzika kutoka kwa mnyama
|