forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
566 B
Markdown
20 lines
566 B
Markdown
# Matumbo
|
|
|
|
Hili ni tumbo na utumbo
|
|
|
|
# ya kiununi
|
|
|
|
Hii ni sehemu ya mwili wa mnyama kwenye maeneo ya ndani ya uti wa mgongo kati ya mbavu na mfupa wa nyonga.
|
|
|
|
# kitambi cha ini
|
|
|
|
Hii ni sehemu ya ini iliyojikunja au kulizunguka. Sehemu hii huonekana kuwa ni sehemu ya ini iliyobora kabisa kwa kula. : "Sehemu ya ini iliyobora"
|
|
|
|
# Hii italeta harufu ya kupendeza mbele za Yahweh
|
|
|
|
Tazama ufafanuzi uliotolewa katika sura ya 1:7
|
|
|
|
# itakuwa sadaka itolewayo Kwake kwa moto.
|
|
|
|
Hili laweza kutafsiriwa katika mtindo tendaji. : "nayo itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa Yahweh"
|