forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
475 B
Markdown
16 lines
475 B
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
Yahweh anaendelea kumwambia Musa kwamba watu hao na makuhani yawapasa wafanye hivyo ili sadaka zao ziweze kukubalika kwake
|
|
|
|
# iliyobanikwa kenye moto, na kupondwa
|
|
|
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "Ile uliyoipika kwenye moto na kisha kusagwa"
|
|
|
|
# sadaka ya kuwakilisha
|
|
|
|
Tazama maelezo katika sura ya 2:1
|
|
|
|
# Hii ni sadaka ifanywayo kwa Yahweh kwa moto.
|
|
|
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "Hii ni sadaka ya kutekezwa kwa Yahweh"
|