forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
969 B
Markdown
28 lines
969 B
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
Yahweh anaendelea kumwambia Musa kwamba watu hao pamoja na makuhani yawapasa wafanye hivyo ili sadaka zao ziweze kukubalika kwake.
|
|
|
|
# uliookwa kweye tanuru
|
|
|
|
Sentensi hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "uliouoka kwenye tanuru"
|
|
|
|
# tanuru
|
|
|
|
Huenda hiki kilikuwa ni chombo kilichotengenezwa kwa udongo chenye uwazi shimo katikati. Moto uliwashwa chini ya tanuru, na joto lingeoka donge la unga ndani ya tanuru.
|
|
|
|
# mkate laini wa unga safi
|
|
|
|
yaeleweka kwamba mkate laini haukuwa na hamira.
|
|
|
|
# uliopakwa mafuta
|
|
|
|
Tafsiri kirai hiki kuonesha kwamba mafuta ni lazima yapakwe kwenye mkate. :"pamoja na mafuta juu ya mkate"
|
|
|
|
# Iwapo toleo lako la nafaka limeokwa kwa kikaango cha chuma
|
|
|
|
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : Iwapo unaioka sadaka yako ya nafaka katika kiaango cha chuma"
|
|
|
|
# kikaango cha chuma
|
|
|
|
Hii ni sahani nzito iliyotengenezwa ama kwa udongo au chuma. Sahani iliwekwa juu ya moto, na donge la ungu lilipikwa juu ya sahani.
|