forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1.1 KiB
Markdown
32 lines
1.1 KiB
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
Yahweh anaendelea kumwambia Musa kiwapasacho watu kutenda ili matoleo yatakubalika kwa kwake.
|
|
|
|
# wataweka moto juu ya madhabahu na kuweka kuni ili kuuchochea huo moto
|
|
|
|
Hili laweza kumaanisha kwamba makuhani mkaa wa moto juu ya madhabahu, kisha wakaweka kuni juu ya mkaa. : wataweka kunu juu ya madhabahu na kuwasha moto"
|
|
|
|
# kuuchochea huo moto
|
|
|
|
Hii ni nahau inayomaanisha kuendelea kuweka kuni kwenye moto. Moto juu ya madhabahu nilazima uendelee kuwaka bila kuzimika
|
|
|
|
# Lakini matumbo yake na miguu ataiosha kwa maji
|
|
|
|
Mtu huyo angefanya hivi kabla hajavitoa vipande kwa makuhani waviweke juu moto. U naweza kutamka hivi mwishoni mwa 1:5
|
|
|
|
# Mtumbo
|
|
|
|
Ni hilo tumbo na utumbo
|
|
|
|
# naye ataiosha
|
|
|
|
Hapa neno "naye" humaanisha anayetoa hiyo sadaka.
|
|
|
|
# nayo italeta harufu ya kupendeza kwangu
|
|
|
|
Yahweh akiwa amependezwa na utoaji dhabihu wa dhati wa aabuduye unamezungumziwa kana kwamba Yahweh alikuwa amependezwa na harufu nzuri ya dhabihu.
|
|
|
|
# sadaka iliyofanywa kwangu kwa moto.
|
|
|
|
Yahweh anamwambia Musa kwamba ni lazima matoleo yawe yanachomwa kwa moto. Hili laweza kutamkwa katika muundo tendaji. : "sadaka ya kuteketezwa kwangu"
|