1.1 KiB
Taarifa kwa ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa kiwapasacho watu kutenda ili matoleo yatakubalika kwa kwake.
wataweka moto juu ya madhabahu na kuweka kuni ili kuuchochea huo moto
Hili laweza kumaanisha kwamba makuhani mkaa wa moto juu ya madhabahu, kisha wakaweka kuni juu ya mkaa. : wataweka kunu juu ya madhabahu na kuwasha moto"
kuuchochea huo moto
Hii ni nahau inayomaanisha kuendelea kuweka kuni kwenye moto. Moto juu ya madhabahu nilazima uendelee kuwaka bila kuzimika
Lakini matumbo yake na miguu ataiosha kwa maji
Mtu huyo angefanya hivi kabla hajavitoa vipande kwa makuhani waviweke juu moto. U naweza kutamka hivi mwishoni mwa 1:5
Mtumbo
Ni hilo tumbo na utumbo
naye ataiosha
Hapa neno "naye" humaanisha anayetoa hiyo sadaka.
nayo italeta harufu ya kupendeza kwangu
Yahweh akiwa amependezwa na utoaji dhabihu wa dhati wa aabuduye unamezungumziwa kana kwamba Yahweh alikuwa amependezwa na harufu nzuri ya dhabihu.
sadaka iliyofanywa kwangu kwa moto.
Yahweh anamwambia Musa kwamba ni lazima matoleo yawe yanachomwa kwa moto. Hili laweza kutamkwa katika muundo tendaji. : "sadaka ya kuteketezwa kwangu"