sw_tn/lam/05/08.md

337 B

Watumwa walitutawala

Maana inayo wezekana ni 1) "Sasa watu wanao tutawala wao wenyewe ni watumwa kwa mabwana zao Babilonia" (UDB) au 2) "Watu walikuwa watumwa Babilonia wanatutawala."

kutuokoa na mikono yao

Hapa neno "mkono" la husu nguvu.

kwasababu ya upanga wa nyikani

"kwasababu kuna watu nyikani wanao ua watu kwa upanga"