sw_tn/lam/04/19.md

210 B

Pumzi katika pua zetu

Hii ni cheo cha mfalme, anaye toa uzima kwa watu wake kama pumzi inavyo upa mwili uhai.

aliye kamatwa katika shimo

Hapa "shimo" la husu mtego wa adui, mpango wao wa kumkamata adui.