forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
447 B
Markdown
20 lines
447 B
Markdown
# Amemeza
|
|
|
|
Ona jinsi ulivyo tafsiri 2:1
|
|
|
|
# Ameongeza kilio na maombolezo
|
|
|
|
"Amesababisha zaidi na zaidi watu kulia na kuomboleza"
|
|
|
|
# binti wa Yuda
|
|
|
|
Hili ni jina la kishairi la Yerusalemu, ambalo hapa la zungumziwa hapa kama mwanamke.
|
|
|
|
# kajumba cha bustani
|
|
|
|
jengo dogo la kuhifadhia vifaa vya au kumuhifadhia mtu anaye tunza bustani
|
|
|
|
# amesababisha kukusanyika na Sabato kusahaulika Sayuni
|
|
|
|
"amesababisha watu Sayuni kusahau kukusanyika na Sabato"
|