forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
1019 B
Markdown
36 lines
1019 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Shairi lipya la anza. Mwandishi wa Maombolezo anatumia njia nyingi tofauti kuelezea kwamba watu wa Israeli wamepoteza upendeleo wa Mungu.
|
|
|
|
# wingu la hasira yake
|
|
|
|
Maana inayo wezekana ni 1) Mungu anatishia kuwadhuru watu wa Yerusalemu au 2) Mungu tayari amesha wadhuru
|
|
|
|
# binti wa Sayuni ... binti wa Yuda
|
|
|
|
Haya ni majina ya kishairi ya Yerusalemu, ambayo hapa yanazungumziwa kama ni mwanamke.
|
|
|
|
# Ametupa utukufu wa Israeli chini kutoka mbinguni hadi duniani
|
|
|
|
"Yerusalemu amepoteza upendeleo wote na Bwana"
|
|
|
|
# Hajakumba
|
|
|
|
"hajatilia maanani"
|
|
|
|
# stuli yake
|
|
|
|
Hapa "stuli" ya wakilisha sehemu ambayo Mungu anaonyesha ukarimu wa kuwepo. Maana kadhaa hapa ni 1) "mji wake wa upendo Yerusalemu" au 2) "agano lake na Israeli."
|
|
|
|
# siku ya hasira yake
|
|
|
|
kipindi cha wakati kwa ujumla, sio siku ya masaa 24
|
|
|
|
# amemeza
|
|
|
|
"kaharibu kabisa" kama vile mnyama asivyo bakiza kitu anapo meza chakula
|
|
|
|
# miji imara ya binti wa Yuda
|
|
|
|
Maana zinazo wezekana ni 1) miji yote imaraYuda nzima, au 2) kuta imara za Yerusalemu.
|