sw_tn/lam/01/15.md

649 B

wanaume wangu hodari walio niokoa

Katika hichi kipengele Yerusalemu bado yaelezewa kama mwanamke anaye jielezea.

wanaume hodari

"wanajeshi wenye nguvu"

kusanyiko

Hapa adui anaye shambulia Yerusalemu anaelezewa kama ni mkutano wa watu waliyo kuja pamoja ili kushitaki na kuhukumu.

wanaume imara

wanaume katika wakati kipindi chao cha nguvu

Bwana amewakanyaga ... chombo cha kusagia mvinyo

Hapa hukumu ya Mungu yaelezewa kama Yerusalemu ni mizabibu aliyo ikanyaga ili kukamua jwisi.

binti bikra wa Yuda

Hili ni jina la kishairi la Yerusalemu, mbapo hapa yaelezewa kama mwanamke. Neno "bikra" la hashiria kuwa mwanamke ni msafi.