forked from WA-Catalog/sw_tn
649 B
649 B
wanaume wangu hodari walio niokoa
Katika hichi kipengele Yerusalemu bado yaelezewa kama mwanamke anaye jielezea.
wanaume hodari
"wanajeshi wenye nguvu"
kusanyiko
Hapa adui anaye shambulia Yerusalemu anaelezewa kama ni mkutano wa watu waliyo kuja pamoja ili kushitaki na kuhukumu.
wanaume imara
wanaume katika wakati kipindi chao cha nguvu
Bwana amewakanyaga ... chombo cha kusagia mvinyo
Hapa hukumu ya Mungu yaelezewa kama Yerusalemu ni mizabibu aliyo ikanyaga ili kukamua jwisi.
binti bikra wa Yuda
Hili ni jina la kishairi la Yerusalemu, mbapo hapa yaelezewa kama mwanamke. Neno "bikra" la hashiria kuwa mwanamke ni msafi.