forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
649 B
Markdown
24 lines
649 B
Markdown
|
# wanaume wangu hodari walio niokoa
|
||
|
|
||
|
Katika hichi kipengele Yerusalemu bado yaelezewa kama mwanamke anaye jielezea.
|
||
|
|
||
|
# wanaume hodari
|
||
|
|
||
|
"wanajeshi wenye nguvu"
|
||
|
|
||
|
# kusanyiko
|
||
|
|
||
|
Hapa adui anaye shambulia Yerusalemu anaelezewa kama ni mkutano wa watu waliyo kuja pamoja ili kushitaki na kuhukumu.
|
||
|
|
||
|
# wanaume imara
|
||
|
|
||
|
wanaume katika wakati kipindi chao cha nguvu
|
||
|
|
||
|
# Bwana amewakanyaga ... chombo cha kusagia mvinyo
|
||
|
|
||
|
Hapa hukumu ya Mungu yaelezewa kama Yerusalemu ni mizabibu aliyo ikanyaga ili kukamua jwisi.
|
||
|
|
||
|
# binti bikra wa Yuda
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la kishairi la Yerusalemu, mbapo hapa yaelezewa kama mwanamke. Neno "bikra" la hashiria kuwa mwanamke ni msafi.
|