sw_tn/lam/01/07.md

515 B

Katika siku za mateso yake na kutokuwa na nyumba

"Wakati Yerusalemu inapo kuwa inateswa na haina makazi"

hazina

"utajiri"

awali

"wakati uliyo pita" au "kabla ili janga halija tokea"

Wakati watu wake walipo angukia mikononi mwa adui

Hapa neno "mikononi" la husu jeshi la adui.

hakuna aliye msaidia

"hakuna msaidizi aliye kuwa naye"

waliwaona na kucheka maangamizo yake

Hii ina maana kuwa walikuwa na furaha na wakadhihaki Yerusalemu ilipo haribiwa.

maangamizo yake

"kwasababu aliharibiwa"