forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
515 B
Markdown
28 lines
515 B
Markdown
|
# Katika siku za mateso yake na kutokuwa na nyumba
|
||
|
|
||
|
"Wakati Yerusalemu inapo kuwa inateswa na haina makazi"
|
||
|
|
||
|
# hazina
|
||
|
|
||
|
"utajiri"
|
||
|
|
||
|
# awali
|
||
|
|
||
|
"wakati uliyo pita" au "kabla ili janga halija tokea"
|
||
|
|
||
|
# Wakati watu wake walipo angukia mikononi mwa adui
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "mikononi" la husu jeshi la adui.
|
||
|
|
||
|
# hakuna aliye msaidia
|
||
|
|
||
|
"hakuna msaidizi aliye kuwa naye"
|
||
|
|
||
|
# waliwaona na kucheka maangamizo yake
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana kuwa walikuwa na furaha na wakadhihaki Yerusalemu ilipo haribiwa.
|
||
|
|
||
|
# maangamizo yake
|
||
|
|
||
|
"kwasababu aliharibiwa"
|