sw_tn/lam/01/04.md

533 B

Barabara za Sayuni zinaomboleza

Mwandishi anaelezea barabara zinazo elekea Sayuni zinaomboleza kama ni mwanadamu

sherehe iliyo andaliwa

"sherehe Mungu aliyo waambia wa shereheke"

Malango yake ... Makuhani wake

Neno "yake" na "wake" yaelezea Sayuni.

katika ugumu

"ana uchungu" au "ana kosa matumaini"

Maadui wake wamekuwa bwana zake

"Maadui wa Sayuni wana mtawala"

maadui wake wana fanikiwa

"maadui wake wanakuwa matajiri"

Yahweh

Hili ni jina la Mungu alilo lidhihirisha kwa watu wake katika Agano la Kale.