forked from WA-Catalog/sw_tn
533 B
533 B
Barabara za Sayuni zinaomboleza
Mwandishi anaelezea barabara zinazo elekea Sayuni zinaomboleza kama ni mwanadamu
sherehe iliyo andaliwa
"sherehe Mungu aliyo waambia wa shereheke"
Malango yake ... Makuhani wake
Neno "yake" na "wake" yaelezea Sayuni.
katika ugumu
"ana uchungu" au "ana kosa matumaini"
Maadui wake wamekuwa bwana zake
"Maadui wa Sayuni wana mtawala"
maadui wake wana fanikiwa
"maadui wake wanakuwa matajiri"
Yahweh
Hili ni jina la Mungu alilo lidhihirisha kwa watu wake katika Agano la Kale.