forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
533 B
Markdown
28 lines
533 B
Markdown
|
# Barabara za Sayuni zinaomboleza
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anaelezea barabara zinazo elekea Sayuni zinaomboleza kama ni mwanadamu
|
||
|
|
||
|
# sherehe iliyo andaliwa
|
||
|
|
||
|
"sherehe Mungu aliyo waambia wa shereheke"
|
||
|
|
||
|
# Malango yake ... Makuhani wake
|
||
|
|
||
|
Neno "yake" na "wake" yaelezea Sayuni.
|
||
|
|
||
|
# katika ugumu
|
||
|
|
||
|
"ana uchungu" au "ana kosa matumaini"
|
||
|
|
||
|
# Maadui wake wamekuwa bwana zake
|
||
|
|
||
|
"Maadui wa Sayuni wana mtawala"
|
||
|
|
||
|
# maadui wake wana fanikiwa
|
||
|
|
||
|
"maadui wake wanakuwa matajiri"
|
||
|
|
||
|
# Yahweh
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la Mungu alilo lidhihirisha kwa watu wake katika Agano la Kale.
|