sw_tn/jos/22/26.md

574 B

Maelezo ya jumla

Makabila ya Rubeni, Gadi na nusu ya Manase wanatoa majibu yao sasa.

iwe ni ushahidi kati yetu na ninyi

Madhabahu inazungumzwa kana kwamba ilikuwa ni ushahidi ambao ungeweza kushuhudia haki kwa makabila matatu.

ili kwamba watoto wenu wasiweze kuwaambia watoto wetu katika siku zijazo kuwa, "Hamna sehemu katika Yahweh."'

Hii ni hali nadharia inayodhaniwa ambayo makabila matatu hayakutaka itokee.

ili kwamba watoto wenu wasiweze kuwaambia watoto wetu katika siku zijazo kuwa, "Hamna sehemu katika Yahweh."'

"hakuna sehemu" au " hamna urithi"