sw_tn/jos/22/04.md

327 B

kutembea katika njia zake

Mtu anayemtii Yahweh anasemwa kana kwamba alikuwa anatembea katika njia au barabara za Yahweh. "kutii kila kitu anachokisema"

kwa moyo wenu wote na kwa roho zenu zote.

Maneno "moyo" na "roho" hapa yametumika kurejelea mtu mzima. "kwa vyote unavyovifikiria na kuvihisi" au "kwa utu wako mzima"