forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
460 B
Markdown
16 lines
460 B
Markdown
# Kutoka katika nusu ya kabila la Manase, jamaa za Gershoni, ambazo hizi zilikuwa ni koo zingine za Walawi, zilipewa Golan
|
|
|
|
Maelezo haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Nusu ya kabila la Manase, koo zingine za walawi, walipokea kutoka kwa nusu ya kabila la Manase mji wa Golani."
|
|
|
|
# Golani...Beeshitera
|
|
|
|
Majina ya miji
|
|
|
|
# aliyeua mtu bila kukusudia
|
|
|
|
Hii na kifo kilichotokana na tendo la ambaye hakukusudia kumdhuru mtu.
|
|
|
|
# miji miwili
|
|
|
|
hesabu ya miji
|