sw_tn/jos/21/27.md

460 B

Kutoka katika nusu ya kabila la Manase, jamaa za Gershoni, ambazo hizi zilikuwa ni koo zingine za Walawi, zilipewa Golan

Maelezo haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Nusu ya kabila la Manase, koo zingine za walawi, walipokea kutoka kwa nusu ya kabila la Manase mji wa Golani."

Golani...Beeshitera

Majina ya miji

aliyeua mtu bila kukusudia

Hii na kifo kilichotokana na tendo la ambaye hakukusudia kumdhuru mtu.

miji miwili

hesabu ya miji