forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
423 B
Markdown
12 lines
423 B
Markdown
# Kutoka katika kabila la Dani, ukoo wa Kohathi ulipewa Elteke
|
|
|
|
Hii inaeweza kuelezwa kwa kutumia muundo tendaji. "Kabila la Dani waliwapa ukoo wa Kohathi eneo la Elteke.
|
|
|
|
# ukoo wa Kohathhi
|
|
|
|
Makuhani katika kundi hili walikuwa ni wazawa wa mwana wa Lawi aliyeitwa Kohathi. Sehemu yao nyingine walikuwa ni wazawa wa Haruni, ambaye ni mjukuu wa Kohathi.
|
|
|
|
# Elteke...Gibethoni..Aijaloni...Gathrimoni
|
|
|
|
Haya ni majinia ya miji
|