sw_tn/jos/21/23.md

423 B

Kutoka katika kabila la Dani, ukoo wa Kohathi ulipewa Elteke

Hii inaeweza kuelezwa kwa kutumia muundo tendaji. "Kabila la Dani waliwapa ukoo wa Kohathi eneo la Elteke.

ukoo wa Kohathhi

Makuhani katika kundi hili walikuwa ni wazawa wa mwana wa Lawi aliyeitwa Kohathi. Sehemu yao nyingine walikuwa ni wazawa wa Haruni, ambaye ni mjukuu wa Kohathi.

Elteke...Gibethoni..Aijaloni...Gathrimoni

Haya ni majinia ya miji