sw_tn/jos/21/11.md

538 B

Arba alikuwa ni baba wa Anaki

Haya ni maelezo ya nyuma juu ya jina la mtu aliyeuanzisha mji wa Kiriathi Arba.

Anaki

Hili ni jina la mwanaume

Nchi ya milima

Hii ni sehemu ya nchi ambayo kiuasilia imeinuka, ni ndogo kuliko mlima

Maeneo ya malishi

Hii ni sehemu iliyo na majani mengi au mimea inayofaa kwa ajili ya kulishia mifugo au wanyama

Mashamba ya mji

Maeneo ya nchi yaliyo wazi, mara nyingine huwa imepandwa mazao ambayo ni mali au yameuzunguka mji.

Vijiji

hizi ni jamii ndogo, mara nyingi ni ndogo kuliko mji