sw_tn/jos/21/06.md

302 B

Gershoni

Gershoni alikuwa ni mmoja wa wana wa Lawi

Upigaji wa kura

Hii ni njia ya kuchagua ambayo ilikuwa ya kubahatisha yaani bila mpango maalumu ili kuondoa utashi wa viongozi, mara kwa mara ilifanywa kwa wazo kuwa Mungu ataamua matokeo

Merari

Merari alikuwa ni mmoja kati ya wana wa Lawi