forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
302 B
Markdown
12 lines
302 B
Markdown
|
# Gershoni
|
||
|
|
||
|
Gershoni alikuwa ni mmoja wa wana wa Lawi
|
||
|
|
||
|
# Upigaji wa kura
|
||
|
|
||
|
Hii ni njia ya kuchagua ambayo ilikuwa ya kubahatisha yaani bila mpango maalumu ili kuondoa utashi wa viongozi, mara kwa mara ilifanywa kwa wazo kuwa Mungu ataamua matokeo
|
||
|
|
||
|
# Merari
|
||
|
|
||
|
Merari alikuwa ni mmoja kati ya wana wa Lawi
|