sw_tn/jos/21/01.md

223 B

Eliazari...Nuni

Haya ni majina ya watu

Waliwaambia

"Walawi wakawaambia"

Yahweh aliwaagizeni ninyi kwa mkono wa Musa

Kirai "kwa mkono wa" kina maana kwamba Yahweh alimtumia Musa kama chombo ili kuleta agizo lake.