forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
398 B
Markdown
16 lines
398 B
Markdown
# Atakimbilia
|
|
|
|
Hapa kiwakilishi 'a' kinamrejelea mtu yule aliyeua bila kukusudia.
|
|
|
|
# na ataeleza kesi yake kwa wazee wa mji ule
|
|
|
|
"kuwashawishi wazee wa mji ule ya kwamba aliua mtu bila kukusudia.
|
|
|
|
# Kisha watamwingiza
|
|
|
|
Kiwakilishi 'wa' kinawarejelea wazee na kiwakilishi "m' kinamrejelea mtu aliyeua bila kukusudia.
|
|
|
|
# kuishi miongoni mwao
|
|
|
|
Hii inarejelea mji wote kwa ujumla, na si kwa wazee tu.
|